Song Details:-
Song Title:- Mkeka Umetiki
Artist:- Rayvanny
“Mkeka Umetiki Lyrics”
Rayvanny
Shemeji yenu kanuna wala hacheki
Kaondoka nyumbani sababu ninabeti
Mikeka inabuma kila nikiseti
Sa leo muindi kajichanganya kudadadeki
Oya nilishatia jamvi mechi nacheki kwa TV
Nikampa Barcelona huku nikampa Chelsea
Manu Arsenal nikaomba watoe GG
Nawashukuru Madrid wamenipa over ya three
We mama mtu rudi nyumbani mkeka umetiki
We mama mtu rudi magetoni mkeka umetiki
We mama mtu rudi nyumbani mkeka umetiki
We mama mtu nyumbani kumenoga mkeka umetiki
Utanunua abaya sio kijora mtoto
Request bajaji mama tuna mtoko
Muindi kakanyaga leo nauwasha moto
Na huoni mkeka wa kulia kuna wa kushoto
Nilivyompania kaji bahi wala hakuchomoa ngo’
Wanacheza Man City sa Haaland hapo anakosaje goal
Liverpool yuko nyumbani ni hatari watampiga mtu four
Cashout sitaki PSG nataka ashinde adraw
Huu mkeka umetoa sa mambo na haingai
Hizi shida ndogo ndogo nyumbani byе bye
Na leo na upwiru basi fanya uhai
Rudi sitaki nikucheat kuna mauti
Mama rudi nyumbani mkеka umetiki
We mama mtu rudi magetoni mkeka umetiki
We mama mtu rudi nyumbani mkeka umetiki
We mama mtu nyumbani kumenoga mkeka umetiki
“THE END”
Rayvanny – Mkeka Umetiki (Official Music Video)
#MkekaUmetikiLyrics #Rayvanny #MkekaUmetiki #Lyrics #Lyricsilly

